LOL ,Thanks for Ur time , BELIEVE U LOVE Me Thats why U view My Blog and U WELCOME Darling. Powered by Blogger.

Saturday, March 9, 2013

DOWNLOAD RIHANNA THATS MY ATTITUDE


KAMA UNATAKA KUWA DJ MKUBWA HAPA NCHINI HII INAKUHUSU

ITCH DJ ACADEMY (IDJ)


  ITCH DJ ACADEMY
  PO BOX
  DAR ES SALAAM
  TANZANIA
  TEL: + 255/ 0712 580 859
HII TAARIFA MAALUM KUTOKA TAASISI BINAFSI AMBAYO ITAKUWA INATOA MAFUNZO MAALUM KWA WATU WOTE WENYE UMRI KUANZIA MIAKA 18 AMBAO WANANIA YA KUWA  MA-DJ MAARUFU HAPA NCHINI

            KOZI TUNAZOFUNDISHA:

INTRODUCTION TO THE DJ INDUSTRY (KOZI YA 1)

1.Set up Machine
2.Mixer Operation
3.Pioneer Operation
4.Basic Mixing
5.Beat Count
6. Beat to Beat mixing
7.Acapella Mixing

Kozi hii mwanafunzi atajifunza kwa muda wa miezi mitatu (3)

ADVANCE TO THE DJ INDUSTRY ( Kozi ya 2)


1. Sound and Level
2. Turntable Operation
3. Perfect mixing
4. Scratching
5. Creative mixing and Techniques

Kozi hii mwanafunzi atajifunza kwa muda wa miezi miwili (2) baada ya kumaliza kozi ya kwanza ya Introduction to the dj I ndustry.

Kozi zote mbili Introduction to the dj industry na Advance to the dj industry zitafundishwa kwa muda wa miezi sita (6).

Fomu ni Tsh 10,000/= tu na utaratibu wa ada za kozi zote utapatikana kwenye form.

Walimu watakao fundisha ni          DJ ZERO
                                              DJ PQ
                                                     DJ D OMMY
                                           Na wengine wengi
                              Mafunzo yataanza tarehe 4 feb 2013



                                          Email : itchdjacademy@gmail.com
                                              Mobile:0712 580 859

Sunday, January 13, 2013

VANNESA MDEE NEW HIT CLOSER


Thursday, October 25, 2012

P SQUARE WAMEKUA VERIFIED TWITTER

No one like you,beautiful onyinye,chop ma money hit makers hapa nawazungumzia Psquare leo wamekua verified twitter.
Kua verified ni kupewa umiliki halali wa account yako ambapo utagongewa muhuri utakao kutambulisha wewe.
Psquare wanaongeza idadi ya mastaa wa nigeria walio verified kufikia kumi.Kwa hapa bongo ni watu wawili tu ambao ni verified ambao ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tz mh Jakaya kikwete na mchezaji wa mpira wa kikapu Hasheem Thabeet..

----------
Sent from my Nokia phone

Thursday, October 11, 2012

K-LYIN AJIFUNGUA WATOTO MAPACHA

Taarifa za kuaminika zinadai aliyewahi kuwa miss Tanzania wa mwaka 2000 Jackline Ntuyabaliwe maarufu kama k-lyn amejifungua watoto mapacha wote wa kiume.
Hongera k-lyn


source:leotainment
 

Blogroll

About


Blog Archive